Ephesians 3:15 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
aliye asili ya jamaa zote duniani na mbinguni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ambaye ubaba wote wa kila jamaa za mbinguni na za duniani unatokana naye.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unaitwa,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ambaye katika yeye kila familia iliyoko mbinguni na duniani inapewa jina.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
aliye asili ya jamaa zote duniani na mbinguni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
aliye asili ya jamaa zote duniani na mbinguni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ambaye ubaba wote wa kila jamaa za mbinguni na za duniani unatokana naye.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ambaye ubaba wote wa kila jamaa za mbinguni na za duniani unatokana naye.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unaitwa,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
aliye asili ya jamaa zote duniani na mbinguni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwani kila aliye baba, kama yuko mbinguni au yuko nchini, hujiita na jina hili la baba.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unaitwa,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
anayekuwa asili ya jamaa zote zinazokuwa mbinguni na katika dunia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
ambae kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unakwitwa,