Ephesians 3:17 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
naye Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani. Namwomba mpate kuwa na mzizi na msingi katika mapendo
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ili Al-Masihi apate kukaa mioyoni mwenu kupitia kwa imani. Nami ninaomba kwamba mkiwa wenye mizizi tena imara katika msingi wa upendo,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ninaomba kwamba Kristo aishi katika mioyo yenu kwa sababu ya imani yenu. Ninaomba maisha yenu yawe na mizizi mirefu na misingi imara katika upendo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
naye Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani. Namwomba mpate kuwa na mzizi na msingi katika mapendo
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
naye Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani. Namwomba mpate kuwa na mzizi na msingi katika mapendo
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ili kwamba, Kristo apate kukaa mioyoni mwenu kwa njia ya imani. Nami ninaomba kwamba ninyi mkiwa wenye mizizi tena imara katika msingi wa upendo,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ili kwamba, Al-Masihi apate kukaa mioyoni mwenu kwa njia ya imani. Nami ninaomba kwamba ninyi mkiwa wenye mizizi tena imara katika msingi wa upendo,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
naye Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani. Namwomba mpate kuwa na mzizi na msingi katika mapendo
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena awape, Kristo akae mioyoni mwenu kwa hivyo, mnavyomtegemea, mpate kushusha mizizi katika upendo, mshikizwe nayo!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hivi Kristo apate kukaa ndani ya mioyo yenu kwa njia ya imani, nanyi mupate kuwa na mizizi na musingi katika upendo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kristo akae mioyoni mwemi kwa imani; illi ninyi, mkiwa na mizizi na misingi katika upendo,