Ephesians 4:21 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ni dhahiri kwamba mlisikia barabara habari zake, na mkiwa wafuasi wake mkafundishwa ukweli ulivyo katika Yesu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama hivyo ndivyo ilivyo, ninyi mmemsikia, tena mmefundishwa naye, vile kweli ilivyo katika Isa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ikiwa mlimsikia mkafundishwa katika yeye, kama kweli ilivyo katika Yesu,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Najua kwamba mlisikia juu yake, na ndani yake mlifundishwa ukweli. Ndiyo, ukweli umo ndani ya Yesu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ni dhahiri kwamba mlisikia barabara habari zake, na mkiwa wafuasi wake mkafundishwa ukweli ulivyo katika Yesu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ni dhahiri kwamba mlisikia barabara habari zake, na mkiwa wafuasi wake mkafundishwa ukweli ulivyo katika Yesu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama hivyo ndivyo ilivyo, ninyi mmemsikia, tena mmefundishwa naye, vile kweli ilivyo katika Yesu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama hivyo ndivyo ilivyo, ninyi mmemsikia, tena mmefundishwa naye, vile kweli ilivyo katika Isa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ikiwa kwa hakika mlisikia habari zake na kufundishwa katika yeye, kama kweli ilivyo katika Yesu,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ni dhahiri kwamba mlisikia barabara habari zake, na mkiwa wafuasi wake mkafundishwa ukweli ulivyo katika Yesu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mmesikia, mkafundishwa Neno lake kwamba: Iliyo ya kweli imo mwake Yesu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ikiwa mlimsikia mkafundishwa katika yeye, kama kweli ilivyo katika Yesu,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hakika mumesikia habari zake, nanyi mukiwa waamini mumefundishwa kufuatana na ukweli unaokuwa ndani ya Kristo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
mkiwa mwalimsikia mkafundishwa katika yeye, kama ilivyo kweli katika Yesu;