Ephesians 4:6 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mungu mmoja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katika yote na ndani ya yote.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mungu ni mmoja na ni Baba wetu sote, anayetawala juu ya kila mtu. Hutenda kazi kupitia kwetu sote na ndani yetu sote.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwenyezi Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mungu mmoja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katika yote na ndani ya yote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
naye Mungu ni mmoja, ndiye Baba yao wote, ni mwenye kuwatawala wote, ni mwenye kuwaendesha wote, ni mwenye kuwakalia wote.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mungu mmoja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katika yote na ndani ya yote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu mumoja, Baba ya watu wote, anayekuwa juu ya wote, anayetumika kwa njia ya wote, na anayekaa ndani ya wote.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mungu mmoja, nae Baba wa wote, aliye juu yote, na kwa yote, na katika yote.