Ephesians 5:12 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya sirini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hakika, ni aibu hata kuyazungumzia mambo haya wanayoyatenda sirini.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya sirini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya sirini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani hutia soni kuyataja tu yanayofanywa nao na kuyafichaficha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
(Kwa maana ni haya kusema juu ya mambo watu hao wanayofanya kwa siri.)
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa kuwa yanayotendeka nao kwa siri, ni aibu hatta kuyanena.