Ephesians 5:13 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini kila kitu kikifichuliwa na mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini kila kitu kilichowekwa nuruni, huonekana,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini nuru inaonesha wazi jinsi mambo hayo yasivyokuwa sahihi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini mambo yale yanayotendwa katika mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini kila kitu kikifichuliwa na mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini kila kitu kilichowekwa nuruni, huonekana,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini kila kitu kilichowekwa nuruni, huonekana,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini chochote kinachoangazwa na nuru hudhihirishwa, maana chochote kile kilichoadhihirika ni nuru.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini kila kitu kikifichuliwa na mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini yote hufunuliwa yakiumbuliwa na mwanga, kwani kila kitu kinachofunuliwa huangazika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini matendo yale yote yanapofunuliwa katika mwangaza, yanaonekana wazi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini yote yakemewapo, hudhihirishwa na nuru; maana killa kitu kinachodhihirisha ni nuru.