Ephesians 5:21 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila mmoja amstahi mwenzake kwa sababu ya heshima mliyo nayo kwa Kristo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nyenyekeaneni ninyi kwa ninyi kutokana na kumcha Al-Masihi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
hali mnanyenyekeana katika kicho cha Kristo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mwe radhi kuhudumiana ninyi kwa ninyi kwa kuwa mnamheshimu Kristo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kila mmoja amstahi mwenzake kwa sababu ya kumcha Kristo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila mmoja amstahi mwenzake kwa sababu ya heshima mliyo nayo kwa Kristo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nyenyekeaneni ninyi kwa ninyi kwa heshima kwa ajili ya Kristo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nyenyekeaneni ninyi kwa ninyi kwa heshima kwa ajili ya Al-Masihi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hali mnanyenyekeana katika kicho cha Kristo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila mmoja amstahi mwenzake kwa sababu ya heshima mliyo nayo kwa Kristo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha na mnyenyekeane kila mtu na mwenziwe kwa hivyo, mnavyomwogopa Kristo!*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
hali mnanyenyekeana katika kicho cha Kristo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mukuwe na utii ninyi kwa ninyi kwa kumuheshimu Kristo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
mkitumikiana katika khofu ya Kristo.