Ephesians 5:26 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alifanya hivyo ili kwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungu, baada ya kulifanya safi kwa kuliosha katika maji,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kusudi aifanye takatifu, akiitakasa kwa kuiosha kwa maji katika neno lake,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Alikufa ili alitakase kanisa lake. Alitumia ujumbe wa Habari Njema kulisafisha kanisa kwa kuliosha katika maji.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Alifanya hivyo, ili kwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungu, baada ya kulifanya safi kwa kuliosha katika maji,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alifanya hivyo ili kwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungu, baada ya kulifanya safi kwa kuliosha katika maji,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kusudi alifanye takatifu, akilitakasa kwa kuliosha kwa maji katika Neno lake,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kusudi aifanye takatifu, akiitakasa kwa kuiosha kwa maji katika Neno lake,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alifanya hivyo ili kwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungu, baada ya kulifanya safi kwa kuliosha katika maji,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
awatakase na kuwang'aza akiwaosha maji, kama alivyoagana nao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alifanya hivi kusudi atakase kanisa kwa ajili ya Mungu, akilisafisha kwa maji na kwa neno.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kusudi alitakase na kulisafisha kwa maji, na kwa Neno;