Ephesians 5:29 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hakuna mtu yeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo naye Kristo anavyolitunza kanisa,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake mwenyewe, bali huulisha na kuutunza vizuri, kama Al-Masihi anavyoitunza jumuiya yake ya waumini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake po pote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea Kanisa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
kwa sababu kamwe hakuna anayeuchukia mwili wake mwenyewe, bali huulisha na kuutunza. Na hivyo ndivyo Kristo anavyolifanyia kanisa
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
(Hakuna mtu yeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo naye Kristo anavyolitunza kanisa,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hakuna mtu yeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo naye Kristo anavyolitunza kanisa,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake mwenyewe, bali huulisha na kuutunza vizuri, kama Kristo anavyolitunza Kanisa lake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake mwenyewe, bali huulisha na kuutunza vizuri, kama Al-Masihi anavyoitunza jumuiya yake ya waumini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake popote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea kanisa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hakuna mtu yeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo naye Kristo anavyolitunza kanisa,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani toka kale hakuna mtu ye yote aliyeuchukia mwili wake mwenyewe, ila huulea na kuutunza, kama Kristo naye anavyowafanyia wateule;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake po pote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea Kanisa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana hakuna mutu anayeweza kuchukia mwili wake mwenyewe, lakini anaukulisha na kuuchunga kama Kristo anavyotendea kanisa,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
maana hakuna mtu anaechukia mwili wtike, bali huulisha na kuutunza, kama Bwana anavyolitendea Kanisa;