Ephesians 5:32 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kuna ukweli uliofichika katika maneno haya, nami naona kwamba yamhusu Kristo na kanisa lake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Siri hii ni kubwa, bali mimi nanena kuhusu Al-Masihi na jumuiya ya waumini wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Siri hiyo ni kubwa; ila mimi nanena habari ya Kristo na Kanisa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Siri hiyo ya kweli ni ya muhimu sana, ninazungumza juu ya Kristo na kanisa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kuna ukweli uliofichika katika maneno haya, nami naona kwamba yamhusu Kristo na kanisa lake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kuna ukweli uliofichika katika maneno haya, nami naona kwamba yamhusu Kristo na kanisa lake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Siri hii ni kubwa, bali mimi nanena kuhusu Kristo na Kanisa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Siri hii ni kubwa, bali mimi nanena kuhusu Al-Masihi na jumuiya ya waumini wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Siri hiyo ni kubwa; ila mimi nanena habari ya Kristo na kanisa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kuna ukweli uliofichika katika maneno haya, nami naona kwamba yamhusu Kristo na kanisa lake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Fumbo hili ni gumu la kulifumbua, lakini mimi nasema la Kristo na la wateule!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Siri hiyo ni kubwa; ila mimi nanena habari ya Kristo na Kanisa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni vigumu sana kuelewa siri hii, lakini ninasema mambo yanayoelekea Kristo na kanisa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Hii ni siri kubwa; lakini nanena khabari ya Kristo na Kanisa.