Ephesians 6:1 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Enyi watoto, watiini wazazi wenu Kikristo maana hili ni jambo jema.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana Isa, kwa kuwa hili ni jema.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Watoto, watiini wazazi wenu katika namna ambayo Bwana anataka, kwa sababu hili ni jambo sahihi kutenda.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Enyi watoto, watiini wazazi wenu Kikristo maana hili ni jambo jema.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Enyi watoto, watiini wazazi wenu Kikristo maana hili ni jambo jema.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, kwa kuwa hili ni jema.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana Isa, kwa kuwa hili ni jema.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Enyi watoto, watiini wazazi wenu Kikristo maana hili ni jambo jema.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Ninyi watoto, watiini wazazi wenu, kwa kuwa mnaye Bwana! Kwani hivi huongoka:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninyi watoto muwatii wazazi wenu mbele ya Bwana, kwa maana vile ndivyo inavyostahili.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
WATOTO, watiini wazazi wenn katika Bwana, maana hii ndio haki.