Ephesians 6:14 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, kaeni tayari. Ukweli na uwe kama mkanda kiunoni mwenu, uadilifu uwe kama vazi la kujikinga kifuani,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo simameni imara mkiwa mmejifunga kweli kiunoni na kuvaa dirii ya haki kifuani,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi simameni, hali mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo simameni imara mkiwa mmefungwa mkanda wa kweli viunoni mwenu, na katika vifua vyenu mkiwa mmevaa kinga ya maisha ya haki.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, simameni imara! Ukweli uwe kama ukanda kiunoni mwenu, uadilifu uwe kama vazi la kujikinga kifuani,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, kaeni tayari. Ukweli na uwe kama mkanda kiunoni mwenu, uadilifu uwe kama vazi la kujikinga kifuani,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo simameni imara mkiwa mmejifunga kweli kiunoni na kuvaa dirii ya haki kifuani,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo simameni imara mkiwa mmejifunga kweli kiunoni na kuvaa dirii ya haki kifuani,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi simameni, mkiwa mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, kaeni tayari. Ukweli na uwe kama mkanda kiunoni mwenu, uadilifu uwe kama vazi la kujikinga kifuani,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Simameni mkiwa mmejifunga ukweli viunoni! Vifuani vaeni wongofu, uwe kanzu yenu ya chuma!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi simameni, hali mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, mujiweke tayari: mukijifungia ukweli kama vile mukaba, mukivaa haki kama vile nguo ya chuma ya kukingia kifua,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Simameni, bassi, mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa haki vifuani,