Ephesians 6:17 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Upokeeni wokovu kama kofia yenu ya chuma, na neno la Mungu kama upanga mnaopewa na Roho Mtakatifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Vaeni chapeo ya wokovu na mchukue upanga wa Roho wa Mungu, ambao ni neno la Mungu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Upokeeni wokovu wa Mungu kama chapeo yenu. Na chukueni upanga wa Roho, yaani mafundisho ya Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Upokeeni wokovu kama kofia yenu ya chuma, na neno la Mungu kama upanga mnaopewa na Roho Mtakatifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Upokeeni wokovu kama kofia yenu ya chuma, na neno la Mungu kama upanga mnaopewa na Roho Mtakatifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Vaeni chapeo ya wokovu na mchukue upanga wa Roho, ambao ni Neno la Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Vaeni chapeo ya wokovu na mchukue upanga wa Roho wa Mwenyezi Mungu, ambao ni Neno la Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Upokeeni wokovu kama kofia yenu ya chuma, na neno la Mungu kama upanga mnaopewa na Roho Mtakatifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kichwani vaeni wokovu, uwe kofia yenu ngumu! Kisha shikeni nao upanga wa Kiroho, ndio neno la Mungu!*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mupokee wokovu kama vile kofia ya chuma ya kuwalinda, na Neno la Mungu kama upanga munaopewa na Roho.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Tena ipokeeni chepeo ya wokofu, na upanga wa Roho, ndio neno la Mungu;