Esther 2:6 — Compare Translations

9 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mordekai alikuwa miongoni mwa watu wale waliochukuliwa mateka wakati mfalme Yekonia wa Yuda alipotekwa na mfalme Nebukadneza wa Babuloni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ambao walichukuliwa uhamishoni kutoka Yerusalemu na Mfalme Nebukadneza wa Babeli, wakiwa miongoni mwa waliochukuliwa mateka pamoja na Mfalme Yekonia wa Yuda.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ambaye kwamba amechukuliwa mateka kutoka Yerusalemu miongoni mwa wafungwa waliochukuliwa pamoja na Yekonia, mfalme wa Yuda; ambaye Nebukadreza,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mordekai alikuwa miongoni mwa watu wale waliochukuliwa mateka wakati mfalme Yekonia wa Yuda alipotekwa na mfalme Nebukadneza wa Babuloni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ambao walichukuliwa uhamishoni kutoka Yerusalemu na Mfalme Nebukadneza wa Babeli, wakiwa miongoni mwa waliochukuliwa mateka pamoja na Mfalme Yekonia wa Yuda.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ambao walichukuliwa uhamishoni kutoka Yerusalemu na Mfalme Nebukadneza wa Babeli, wakiwa miongoni mwa waliochukuliwa mateka pamoja na Mfalme Yekonia wa Yuda.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alitekwa Yerusalemu, akahamishwa pamoja na mateka waliohamishwa pamoja na Yekonia, mfalme wa Yuda; naye aliyewahamisha alikuwa Nebukadinesari, mfalme wa Babeli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ambaye kwamba amechukuliwa mateka kutoka Yerusalemu miongoni mwa wafungwa waliochukuliwa pamoja na Yekonia, mfalme wa Yuda; ambaye Nebukadreza, mfalme wa Babeli, alimchukua.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mordekayi alikuwa kati ya watu wale waliopelekwa kuwa wafungwa wakati mufalme Yekonia wa Yuda alipotekwa na mufalme Nebukadneza wa Babeli.