Esther 6:5 — Compare Translations
9 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, watumishi wakamjibu mfalme, “Hamani yuko uani.” Mfalme akasema, “Mkaribishe ndani.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watumishi wake wakamjibu, “Hamani amesimama uani.” Mfalme akaamuru, “Mleteni ndani.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi watumwa wa mfalme wakamwambia, Tazama, Hamani yupo, amesimama behewani. Mfalme akasema, Na aingie.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, watumishi wakamjibu mfalme, “Hamani yuko uani.” Mfalme akasema, “Mkaribishe ndani.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watumishi wake wakamjibu, “Hamani amesimama uani.” Mfalme akaamuru, “Mleteni ndani.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watumishi wake wakamjibu, “Hamani amesimama uani.” Mfalme akaamuru, “Mleteni ndani.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vijana wa mfalme walipomwambia: Tazama, ni Hamani anayesimama uani, mfalme akasema: Aje!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi watumwa wa mfalme wakamwambia, Tazama, Hamani yupo, amesimama behewani. Mfalme akasema, Na aingie.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, watumishi wakamujibu mufalme: “Hamani yuko katika kiwanja.” Mufalme akasema: “Mumukaribishe ndani.”