Esther 6:7 — Compare Translations
9 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Hamani akamjibu mfalme, “Mtu huyo ambaye mfalme angependa kumtunukia heshima,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo akamjibu mfalme, “Kwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Hamani akamwambia mfalme, Yule ambaye mfalme apenda kumheshimu,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Hamani akamjibu mfalme, “Mtu huyo ambaye mfalme angependa kumtunukia heshima,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo akamjibu mfalme, “Kwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo akamjibu mfalme, “Kwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo Hamani akamwambia mfalme: Kama yuko mtu, mfalme apendezwaye naye, amheshimu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Hamani akamwambia mfalme, Yule ambaye mfalme apenda kumheshimu,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Hamani akamujibu mufalme: “Mutu huyo ambaye mufalme angependa kumupatia heshima,