Exodus 10:28 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Farao akamwambia Mose, “Toka mbele yangu. Jihadhari sana. Usije kuniona tena, maana siku utakapokuja tena mbele yangu, utakufa!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Farao akamwambia Musa, “Ondoka mbele yangu! Hakikisha kuwa hutakuja mbele yangu tena! Siku ile utakapouona uso wangu utakufa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Farao akamwambia Musa, Nenda zako, ujiangalie, usinione uso tena; kwani siku hiyo utakayoniangalia uso wangu utakufa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Farao akamwambia Mose, “Toka mbele yangu. Jihadhari sana. Usije kuniona tena, maana siku utakapokuja tena mbele yangu, utakufa!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Farao akamwambia Mose, “Ondoka mbele yangu! Hakikisha kuwa hutakuja mbele yangu tena! Siku ile utakapouona uso wangu utakufa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Farao akamwambia Musa, “Ondoka mbele yangu! Hakikisha kuwa hutakuja mbele yangu tena! Siku ile utakapouona uso wangu utakufa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Farao akamwambia Musa, Nenda zako, ujiangalie, usinione uso tena; kwani siku hiyo utakayoniangalia uso wangu utakufa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Farao akamwambia Mose, “Toka mbele yangu. Jihadhari sana. Usije kuniona tena, maana siku utakapokuja tena mbele yangu, utakufa!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo Farao akamwambia: Ondoka kwangu! Jiangalie, usitokee tena kuuona uso wangu! Kwani siku, utakapouona uso wangu, utakufa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Farao akamwambia Musa, Nenda zako, ujiangalie, usinione uso tena; kwani siku hiyo utakayoniangalia uso wangu utakufa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme akamwambia Musa: “Toka mbele yangu! Ufanye angalisho sana! Usikuje kuniona tena, maana siku utakapokuja tena mbele yangu, utakufa!”