Exodus 12:33 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wamisri wakawahimiza Waisraeli waondoke haraka, wakisema, “Hakika tutakufa sote!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wamisri wakawahimiza Waisraeli waondoke kwa haraka na kuacha nchi yao. Kwa kuwa walisema, “La sivyo, tutakufa wote!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wamisri nao wakawahimiza watu, kuwatoa katika nchi kwa haraka, maana walisema, Tumekwisha kufa sote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wamisri wakawahimiza Waisraeli waondoke haraka, wakisema, “Hakika tutakufa sote!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wamisri wakawahimiza Waisraeli waondoke kwa haraka na kuacha nchi yao. Kwa kuwa walisema, “La sivyo, tutakufa wote!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wamisri wakawahimiza Waisraeli waondoke kwa haraka na kuacha nchi yao. Kwa kuwa walisema, “La sivyo, tutakufa wote!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wamisri nao wakawahimiza watu, kuwatoa katika nchi kwa haraka, maana walisema, Tumekwisha kufa sote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wamisri wakawahimiza Waisraeli waondoke haraka, wakisema, “Hakika tutakufa sote!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wamisri nao wakawahimiza hao watu na kuwatoa upesi katika nchi yao, kwani walisema: Sisi sote tutakufa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wamisri nao wakawahimiza watu, kuwatoa katika nchi kwa haraka, maana walisema, Tumekwisha kufa sote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wamisri wakawasukuma Waisraeli waondoke haraka, wakisema: “Hakika tutakufa sisi wote!”