Exodus 12:40 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waisraeli walikuwa wameishi nchini Misri kwa muda wa miaka 430.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Waisraeli waliishi Misri kwa muda wa miaka mia nne na thelathini (430).
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi wana wa Israeli kukaa kwao, maana, muda waliokaa ndani ya Misri, ulikuwa ni miaka mia nne na thelathini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waisraeli walikuwa wameishi nchini Misri kwa muda wa miaka 430.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waisraeli walikuwa wameishi Misri kwa muda wa miaka 430.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waisraeli walikuwa wameishi Misri kwa muda wa miaka 430.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Muda ambao wana wa Israeli walikaa Misri, ulikuwa ni miaka mia nne na thelathini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waisraeli walikuwa wameishi nchini Misri kwa muda wa miaka 430.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Miaka ya kukaa, wana wa Isiraeli waliyokaa Misri, ilikuwa miaka 430.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi wana wa Israeli kukaa kwao, maana, muda waliokaa ndani ya Misri, ulikuwa ni miaka mia nne na thelathini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waisraeli walikuwa wameishi katika inchi ya Misri kwa muda wa miaka mia ine na makumi tatu.