Exodus 12:44 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini mtumwa yeyote aliyenunuliwa kwa fedha, baada ya kumtahiri, ataruhusiwa kushiriki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtumwa yeyote ambaye mmemnunua aweza kuila kama mmemtahiri,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
lakini mtumishi wa mtu awaye yote aliyenunuliwa kwa fedha, ukiisha kumtahiri, ndipo hapo atamla pasaka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini mtumwa yeyote aliyenunuliwa kwa fedha, baada ya kumtahiri, ataruhusiwa kushiriki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtumwa ye yote ambaye mmemnunua aweza kuila kama mmemtahiri,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtumwa yeyote ambaye mmemnunua aweza kuila kama mmemtahiri,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
lakini mtumishi wa mtu awaye yote aliyenunuliwa kwa fedha, ukiisha kumtahiri, ndipo hapo atamla Pasaka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini mtumwa yeyote aliyenunuliwa kwa fedha, baada ya kumtahiri, ataruhusiwa kushiriki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini kila mtumwa aliyenunuliwa kwa fedha ataila, ukiisha kumtahiri.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
lakini mtumishi wa mtu awaye yote aliyenunuliwa kwa fedha, ukiisha kumtahiri, ndipo hapo atamla pasaka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mutumwa yeyote aliyenunuliwa kwa feza, nyuma ya kumutahiri, ataruhusiwa kushiriki.