Exodus 12:45 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Msafiri yeyote, wala kibarua yeyote, hatashiriki chakula hicho.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
lakini kibarua yeyote au msafiri haruhusiwi kula.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaaye kwenu hali ya ugeni, na mtumishi aliyeajiriwa, wasimle pasaka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Msafiri yeyote, wala kibarua yeyote, hatashiriki chakula hicho.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
lakini kibarua ye yote au msafiri haruhusiwi kula.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
lakini kibarua yeyote au msafiri haruhusiwi kula.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaaye kwenu kama mgeni, na mtumishi aliyeajiriwa, wasimle Pasaka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Msafiri yeyote, wala kibarua yeyote, hatashiriki chakula hicho.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atakayekaa tu kwako na mtu wa mshahara asiile!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaaye kwenu hali ya ugeni, na mtumishi aliyeajiriwa, wasimle pasaka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Musafiri yeyote, wala mutumishi yeyote wa mushahara, hatashiriki chakula hicho.