Exodus 12:49 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sheria zilezile zitamhusu mzalendo Mwisraeli na wageni watakaoishi miongoni mwenu”.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sheria hiyo hiyo itamuhusu mzawa na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sheria ni hiyo moja kwa mtu aliyezaliwa kwenu, na kwa mgeni akaaye kati yenu ugenini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sheria zilezile zitamhusu mzalendo Mwisraeli na wageni watakaoishi miongoni mwenu”.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sheria iyo hiyo itamuhusu mzawa na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sheria iyo hiyo itamuhusu mzawa na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sheria ni hiyo moja kwa mtu aliyezaliwa kwenu, na kwa mgeni akaaye kati yenu ugenini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sheria zilezile zitamhusu mzalendo Mwisraeli na wageni watakaoishi miongoni mwenu”.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maonyo yawe yayo hayo ya mzalia wa kwenu nayo ya mgeni atakayekaa ugenini kwako!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sheria ni hiyo moja kwa mtu aliyezaliwa kwenu, na kwa mgeni akaaye kati yenu ugenini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sheria zilezile zitaelekea Mwisraeli aliyezaliwa katika inchi na wageni watakaoishi kati yenu.”