Exodus 12:51 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Siku hiyohiyo Mwenyezi-Mungu aliwatoa Waisraeli nchini Misri kwa makundi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Siku ile ile Mwenyezi Mungu akawatoa Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ilikuwa siku ile ile moja, Bwana akawatoa wana wa Israeli katika nchi ya Misri kwa majeshi yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Siku hiyohiyo Mwenyezi-Mungu aliwatoa Waisraeli nchini Misri kwa makundi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Siku ile ile BWANA akawatoa Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Siku ile ile bwana akawatoa Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ilikuwa siku ile ile moja, BWANA akawatoa wana wa Israeli katika nchi ya Misri kwa majeshi yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Siku hiyohiyo Mwenyezi-Mungu aliwatoa Waisraeli nchini Misri kwa makundi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ilikuwa siku ileile moja tu, Bwana akiwatoa wana wa Isiraeli katika nchi ya Misri vikosi kwa vikosi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ilikuwa siku ile ile moja, BWANA akawatoa wana wa Israeli katika nchi ya Misri kwa majeshi yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Siku hiyohiyo Yawe aliwatoa Waisraeli katika inchi ya Misri kwa makundi.