Exodus 14:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Farao akatayarisha gari lake la vita na jeshi lake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo akaandaliwa gari lake la vita, naye akaenda pamoja na jeshi lake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaandalia gari lake, akawachukua watu wake pamoja naye;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Farao akatayarisha gari lake la vita na jeshi lake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo akaandaliwa gari lake la vita, naye akaenda pamoja na jeshi lake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo akaandaliwa gari lake la vita, naye akaenda pamoja na jeshi lake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaandaa gari lake, akawachukua watu wake pamoja naye;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Farao akatayarisha gari lake la vita na jeshi lake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akalitengeneza gari lake, akawachukua nao watu wake kwenda naye,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaandalia gari lake, akawachukua watu wake pamoja naye;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, mufalme akatayarisha gari lake la vita na jeshi lake.