Exodus 15:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini wewe uliuvumisha upepo wako, nayo bahari ikawafunika. Walizama majini kama risasi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini ulipuliza kwa pumzi yako, bahari ikawafunika. Wakazama kama risasi kwenye maji makuu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ulivuma kwa upepo wako, bahari ikawafunikiza; Wakazama kama risasi ndani ya maji makuu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini wewe uliuvumisha upepo wako, nayo bahari ikawafunika. Walizama majini kama risasi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini ulipuliza kwa pumzi yako, bahari ikawafunika. Wakazama kama risasi kwenye maji makuu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini ulipuliza kwa pumzi yako, bahari ikawafunika. Wakazama kama risasi kwenye maji makuu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ulivuma kwa upepo wako, bahari ikawafunikiza; Wakazama kama risasi ndani ya maji makuu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini wewe uliuvumisha upepo wako, nayo bahari ikawafunika. Walizama majini kama risasi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ndipo, ulipouvumisha upepo wako, nayo bahari ikawafunikiza, wakazama kama risasi katika maji makuu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ulivuma kwa upepo wako, bahari ikawafunikiza; Wakazama kama risasi ndani ya maji makuu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini wewe uliuvumisha upepo wako, nayo bahari ikawafunika. Walizama ndani ya maji kama risasi.