Exodus 15:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Magari na majeshi ya Farao ameyatumbukiza baharini, maofisa wake wateule wamezama katika bahari ya Shamu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Magari ya vita ya Farao na jeshi lake amewatosa baharini. Maafisa wa Farao walio bora sana wamezamishwa katika Bahari ya Shamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Magari ya Farao na jeshi lake amewatupa baharini, Maakida yake wateule wamezama katika bahari ya Shamu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Magari na majeshi ya Farao ameyatumbukiza baharini, maofisa wake wateule wamezama katika bahari ya Shamu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Magari ya vita ya Farao na jeshi lake amewatosa baharini. Maafisa wa Farao walio bora sana wamezamishwa katika Bahari ya Shamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Magari ya vita ya Farao na jeshi lake amewatosa baharini. Maafisa wa Farao walio bora sana wamezamishwa katika Bahari ya Shamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Magari ya Farao na jeshi lake amewatupa baharini, Maofisa wake wateule wamezama katika Bahari ya Shamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Magari na majeshi ya Farao ameyatumbukiza baharini, maofisa wake wateule wamezama katika bahari ya Shamu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Magari ya Farao na vikosi vyake amewabwaga baharini, wateule wake wakuu wametoswa katika Bahari Nyekundu;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Magari ya Farao na jeshi lake amewatupa baharini, Maakida yake wateule wamezama katika bahari ya Shamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Magari na majeshi ya mufalme wa Misri ameyatumbukiza ndani ya bahari; majemadari wake wachaguliwa wamezama katika bahari Nyekundu.