Exodus 16:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Umande huo ulipotoweka, kukabaki huko nyikani kitu kama mkate mwembamba na mwepesi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Umande ulipoondoka, vipande vidogo vidogo kama theluji vilionekana juu ya mchanga wa jangwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na ulipoinuka ule umande uliokuwa juu ya nchi, kumbe! Juu ya uso wa bara kitu kidogo kilichoviringana, kidogo kama sakitu juu ya nchi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Umande huo ulipotoweka, kukabaki huko nyikani kitu kama mkate mwembamba na mwepesi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati umande ulipoondoka, vipande vidogo vidogo kama theluji vilionekana juu ya uso wa jangwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati umande ulipoondoka, vipande vidogo vidogo kama theluji vilionekana juu ya uso wa jangwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na ulipokauka ule umande uliokuwa juu ya nchi, kumbe! Juu ya uso wa bara kitu kidogo kilichoviringana, kidogo kama barafu juu ya nchi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Umande huo ulipotoweka, kukabaki huko nyikani kitu kama mkate mwembamba na mwepesi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Napo, umande uliokuwa umeanguka ulipoondoka, wakaona nyikani po pote punje ndogo sana zilizoviringana, nazo zilikuwa kama vitone vidogo vya umande juu ya nchi vilivyogandishwa na baridi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na ulipoinuka ule umande uliokuwa juu ya nchi, kumbe! Juu ya uso wa bara kitu kidogo kilichoviringana, kidogo kama sakitu juu ya nchi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Umande ule ulipotoweka, kukabaki kule katika jangwa kitu kama mukate mwembamba na mwepesi.