Exodus 18:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mose akamjibu mkwewe, “Kwa sababu watu huja kwangu kuuliza matakwa ya Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Musa akamjibu, “Kwa sababu watu wananijia kutaka mapenzi ya Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Musa akamwambia mkwewe, Ni kwa sababu watu hunijilia mimi wapate kumwuliza Mungu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mose akamjibu mkwewe, “Kwa sababu watu huja kwangu kuuliza matakwa ya Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mose akamjibu, “Kwa sababu watu wananijia kutaka mapenzi ya Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Musa akamjibu, “Kwa sababu watu wananijia kutaka mapenzi ya Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Musa akamwambia mkwewe, Ni kwa sababu watu hunijilia mimi wapate kumwuliza Mungu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mose akamjibu mkwewe, “Kwa sababu watu huja kwangu kuuliza matakwa ya Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Mose akamwambia mkwewe: Hawa watu wakija kwangu, ni kwa kuwa wanataka kumwuliza Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Musa akamwambia mkwewe, Ni kwa sababu watu hunijilia mimi wapate kumwuliza Mungu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Musa akamujibu baba mukwe wake: “Kwa sababu watu wanakuja kwangu kuuliza mapenzi ya Mungu.