Exodus 18:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Yethro akamwambia Mose, “Unavyofanya si vizuri!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baba mkwe wa Musa akamjibu, “Unachofanya sio kizuri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mkwewe Musa akamwambia, Jambo hili ufanyalo si jema.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Yethro akamwambia Mose, “Unavyofanya si vizuri!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baba mkwe wa Mose akamjibu, “Unachofanya sio kizuri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baba mkwe wa Musa akamjibu, “Unachofanya sio kizuri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mkwewe Musa akamwambia, Jambo hili ufanyalo si jema.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Yethro akamwambia Mose, “Unavyofanya si vizuri!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye mkwewe Mose akamwambia: Hivyo, unavyolifanya jambo hili, havifai.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mkwewe Musa akamwambia, Jambo hili ufanyalo si jema.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Yetro akamwambia Musa: “Unavyofanya si vizuri!