Exodus 18:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo Yethro, akiwa na Sipora, mkewe Mose, ambaye Mose alikuwa amemrudisha kwa baba yake, alimwendea Mose,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya Musa kumrudisha mkewe Sipora, Yethro baba mkwe wake alimpokea
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo Yethro mkwewe Musa akamtwaa Sipora, mke wa Musa, baada ya yeye kumrudisha,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo Yethro, akiwa na Sipora, mkewe Mose, ambaye Mose alikuwa amemrudisha kwa baba yake, alimwendea Mose,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya Mose kumrudisha mkewe Sipora, Yethro baba mkwe wake alimpokea
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya Musa kumrudisha mkewe Sipora, Yethro baba mkwe wake alimpokea
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo Yethro mkwewe Musa akamtwaa Sipora, mke wa Musa, baada ya yeye kumrudisha,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo Yethro, akiwa na Sipora, mkewe Mose, ambaye Mose alikuwa amemrudisha kwa baba yake, alimwendea Mose,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ndipo, Yetoro, mkwewe Mose, alipomchukua Sipora, mkewe Mose, aliyemrudisha,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo Yethro mkwewe Musa akamtwaa Sipora, mke wa Musa, baada ya yeye kumrudisha,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo Yetro, akiwa na Sipora muke wa Musa ambaye Musa alikuwa amemurudisha kwa baba yake, alimwendea Musa,