Exodus 19:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walipoondoka Refidimu na kufika jangwa la Sinai, huko walipiga kambi mbele ya mlima Sinai.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya kuondoka Refidimu, waliingia katika Jangwa la Sinai na Israeli wakapiga kambi pale jangwani mbele ya mlima.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao walipokuwa wameondoka Refidimu na kufika jangwa la Sinai, wakatua katika lile jangwa; Israeli wakapiga kambi huko wakiukabili mlima.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walipoondoka Refidimu na kufika jangwa la Sinai, huko walipiga kambi mbele ya mlima Sinai.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya kuondoka Refidimu, waliingia katika Jangwa la Sinai na Israeli wakapiga kambi pale jangwani mbele ya mlima.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya kuondoka Refidimu, waliingia katika Jangwa la Sinai na Israeli wakapiga kambi pale jangwani mbele ya mlima.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao walipokuwa wameondoka Refidimu na kufika jangwa la Sinai, wakatua katika lile jangwa; Israeli wakapiga kambi huko wakiukabili mlima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walipoondoka Refidimu na kufika jangwa la Sinai, huko walipiga kambi mbele ya mlima Sinai.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipoondoka Refidimu, wakafika nyikani kwa Sinai; nao Waisiraeli wlipoyapiga makambi yao wakayapiga ng'ambo ya huku kwenye huo mlima.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao walipokuwa wameondoka Refidimu na kufika jangwa la Sinai, wakatua katika lile jangwa; Israeli wakapiga kambi huko wakiukabili mlima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Walipoondoka Refidimu na kufika jangwa la Sinai, kule wakapiga kambi mbele ya mulima Sinai.