Exodus 2:1 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa Walawi aliyemwoa mwanamke mmoja ambaye pia alikuwa wa ukoo wa Walawi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaoa mwanamke Mlawi,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaondoka akaoa binti mmoja wa Lawi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa Walawi aliyemwoa mwanamke mmoja ambaye pia alikuwa wa ukoo wa Walawi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaoa mwanamke Mlawi,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaoa mwanamke Mlawi,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaenda akaoa binti mmoja wa Lawi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa Walawi aliyemwoa mwanamke mmoja ambaye pia alikuwa wa ukoo wa Walawi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu wa mlango wa Lawi akaenda, akaoa mwanamke wa Kilawi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaondoka akaoa binti mmoja wa Lawi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kulikuwa mutu mumoja wa ukoo wa Walawi aliyemuoa mwanamuke mumoja ambaye vilevile alikuwa wa ukoo wa Walawi.