Exodus 2:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walipomrudia baba yao Reueli, yeye akawauliza, “Mbona leo mmerudi upesi hivyo?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wasichana hao waliporudi nyumbani, baba yao Reueli akawauliza, “Imekuwaje leo mmerudi mapema hivyo?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Walipofika kwa Reueli baba yao, akasema, Imekuwaje hata mkarejea mapema leo?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walipomrudia baba yao Reueli, yeye akawauliza, “Mbona leo mmerudi upesi hivyo?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hao wasichana waliporudi nyumbani kwa Reueli baba yao, akawauliza, “Imekuwaje leo mmerudi mapema hivyo?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hao wasichana waliporudi nyumbani kwa Reueli baba yao, akawauliza, “Imekuwaje leo mmerudi mapema hivyo?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Walipofika kwa Reueli baba yao, akasema, Imekuwaje hata mkarejea mapema leo?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walipomrudia baba yao Reueli, yeye akawauliza, “Mbona leo mmerudi upesi hivyo?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipofika kwa baba yao Reueli, akawauliza: Inakuwaje, mkifika leo, kukiwa mchana bado?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Walipofika kwa Reueli baba yao, akasema, Imekuwaje hata mkarejea mapema leo?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Walipomurudilia baba yao Rueli, yeye akawauliza: “Mbona leo mumerudi upesi hivyo?”