Exodus 20:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, niliyekutoa nchini Misri, ambako ulikuwa mtumwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mimi ndimi Mwenyezi Mungu, Mungu wako, niliyekutoa Misri, kutoka nchi ya utumwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, niliyekutoa nchini Misri, ambako ulikuwa mtumwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mimi ndimi BWANA Mungu wako, niliyekutoa Misri, kutoka nchi ya utumwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mimi ndimi bwana Mwenyezi Mungu wako, niliyekutoa Misri, kutoka nchi ya utumwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mimi ni BWANA, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, niliyekutoa nchini Misri, ambako ulikuwa mtumwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mimi ndimi Bwana Mungu wako niliyekutoa katika nchi ya Misri nyumbani, mlimokuwa watumwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mimi ni BWANA, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mimi ni Yawe, Mungu wako, niliyekutoa katika inchi ya Misri, ambako ulikuwa mutumwa.