Exodus 20:26 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wala msitengeneze madhabahu yenye ngazi za kupandia, mtu asije akauona uchi wa huyo anayepanda juu yake.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usitumie ngazi kupanda kwenye madhabahu yangu, uchi wako usije ukadhihirika kwa chini.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena hutapanda kwenda madhabahuni kwangu kwa daraja, uchi wako usidhihirike juu yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wala msitengeneze madhabahu yenye ngazi za kupandia, mtu asije akauona uchi wa huyo anayepanda juu yake.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Msitumie ngazi kupandia kwenye madhabahu yangu, uchi wako usije ukadhihirika kwa chini.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Msitumie ngazi kupandia kwenye madhabahu yangu, uchi wako usije ukadhihirika kwa chini.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena hutapanda kwenda madhabahuni kwangu kwa daraja, uchi wako usidhihirike juu yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wala msitengeneze madhabahu yenye ngazi za kupandia, mtu asije akauona uchi wa huyo anayepanda juu yake.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena usitumie ngazi ya kupapandia hapo pa kunitambikia, ni kwamba vyako vyenye soni visifunuliwe hapo pake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena hutapanda kwenda madhabahuni kwangu kwa daraja, uchi wako usidhihirike juu yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wala musitengeneze mazabahu yenye ngazi za kupandia, mutu asipate kuona uchi wa yule anayepanda juu yake.