Exodus 21:21 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini mtumwa huyo akibaki hai siku moja au mbili, bwana wake hataadhibiwa, kwani huyo alikuwa ni mali yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
lakini ikiwa mtumwa ataamka baada ya siku moja au mbili, hataadhibiwa, kwa sababu yule mtumwa ni mali yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini akipona siku moja au mbili hataadhibiwa; maana, ni mali yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini mtumwa huyo akibaki hai siku moja au mbili, bwana wake hataadhibiwa, kwani huyo alikuwa ni mali yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
lakini ikiwa mtumwa ataamka baada ya siku moja au mbili, hataadhibiwa, kwa sababu yule mtumwa ni mali yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
lakini ikiwa mtumwa ataamka baada ya siku moja au mbili, hataadhibiwa, kwa sababu yule mtumwa ni mali yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini akipona siku moja au mbili hataadhibiwa; maana, ni mali yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini mtumwa huyo akibaki hai siku moja au mbili, bwana wake hataadhibiwa, kwani huyo alikuwa ni mali yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini akiwapo baadaye siku moja au mbili, hatalipizwa, kwani ni mali yake yeye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini akipona siku moja au mbili hataadhibiwa; maana, ni mali yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mutumwa yule au mujakazi yule akibaki muzima siku moja au mbili, bwana wake hataazibiwa, maana yule alikuwa ni mali yake.