Exodus 22:27 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
kwa kuwa hiyo ndiyo nguo yake ya pekee; ndiyo atakayojifunika nayo. Au wadhani atalalia nini? Akinililia nitamsikiliza, maana mimi ni mwenye huruma.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa kuwa vazi lake ndilo pekee alilo nalo la kumfunika mwili wake. Ni nini kingine atajifunika nacho? Atakaponililia, nitasikia, kwa kuwa nina huruma.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
maana hiyo nguo ni kifuniko chake, hiyo peke yake ni nguo ya ngozi yake; je! Atalalia nini? Itakuwa, hapo atakaponililia mimi, nitasikia; kwa kuwa mimi ni mwenye rehema.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
kwa kuwa hiyo ndiyo nguo yake ya pekee; ndiyo atakayojifunika nayo. Au wadhani atalalia nini? Akinililia nitamsikiliza, maana mimi ni mwenye huruma.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa kuwa vazi lake ndilo pekee alilonalo la kumfunika mwili wake. Ni nini kingine atajifunika nacho? Atakaponililia, nitasikia, kwa kuwa nina huruma.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa kuwa vazi lake ndilo pekee alilo nalo la kumfunika mwili wake. Ni nini kingine atajifunika nacho? Atakaponililia, nitasikia, kwa kuwa nina huruma.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
maana hiyo nguo ni kifuniko chake, hiyo peke yake ni nguo ya ngozi yake; je! Atalalia nini? Itakuwa, hapo atakaponililia mimi, nitasikia; kwa kuwa mimi ni mwenye rehema.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
kwa kuwa hiyo ndiyo nguo yake ya pekee; ndiyo atakayojifunika nayo. Au wadhani atalalia nini? Akinililia nitamsikiliza, maana mimi ni mwenye huruma.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani hulitumia la kujifunika, hili peke yake ni nguo yake ya kuufunika mwili wake; asipokuwa nalo atalalia nini? Naye atakaponililia, mimi nitamsikia, kwani mimi ni mwenye huruma.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
maana hiyo nguo ni kifuniko chake, hiyo peke yake ni nguo ya ngozi yake; je! Atalalia nini? Itakuwa, hapo atakaponililia mimi, nitasikia; kwa kuwa mimi ni mwenye rehema.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Usimutukane Mungu, wala kumulaani mukubwa wa watu wako.