Exodus 23:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Usipokee rushwa, maana rushwa huwapofusha wakuu na kupotosha mambo ya wenye haki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Usipokee rushwa, kwa kuwa rushwa hupofusha wale waonao, na kupinda maneno ya wenye haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nawe usipokee rushwa; kwani hiyo rushwa huwapofusha macho hao waonao, na kuyapotoa maneno ya wenye haki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Usipokee rushwa, maana rushwa huwapofusha wakuu na kupotosha mambo ya wenye haki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Usipokee rushwa, kwa kuwa rushwa hupofusha wale waonao, na kupinda maneno ya wenye haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Usipokee rushwa, kwa kuwa rushwa hupofusha wale waonao, na kupinda maneno ya wenye haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nawe usipokee rushwa; kwani hiyo rushwa huwapofusha macho hao waonao, na kuyapotoa maneno ya wenye haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Usipokee rushwa, maana rushwa huwapofusha wakuu na kupotosha mambo ya wenye haki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Usitwae mapenyezo! Kwani mapenyezo huyapofusha macho yao waonao, tena huyapotoa maneno ya waongofu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nawe usipokee rushwa; kwani hiyo rushwa huwapofusha macho hao waonao, na kuyapotoa maneno ya wenye haki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Usipokee kituliro, maana kituliro kinapofusha wakubwa na kupotosha mambo ya wenye haki.