Exodus 24:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Mose akaondoka pamoja na Yoshua, mtumishi wake, akaenda kwenye mlima wa Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi Musa akaondoka na Yoshua mtumishi wake, naye Musa akapanda juu kwenye mlima wa Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Musa akaondoka na Yoshua, mtumishi wake, Musa akapanda mlimani kwa Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Mose akaondoka pamoja na Yoshua, mtumishi wake, akaenda kwenye mlima wa Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi Mose akaondoka na Yoshua mtumishi wake, naye Mose akapanda juu kwenye mlima wa Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi Musa akaondoka na Yoshua mtumishi wake, naye Musa akapanda juu kwenye mlima wa Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Musa akaondoka na Yoshua, mtumishi wake, Musa akapanda mlimani kwa Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Mose akaondoka pamoja na Yoshua, mtumishi wake, akaenda kwenye mlima wa Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Mose alipoinuka pamoja na mtumishi wake Yosua, naye Mose akapanda mlimani kufika kwake Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Musa akaondoka na Yoshua, mtumishi wake, Musa akapanda mlimani kwa Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Musa akaondoka pamoja na Yoshua, mutumishi wake, akaenda kwenye mulima wa Mungu.