Exodus 25:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Utalipaka sanduku hilo dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Utalifunika hilo Sanduku kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nawe ulifunike kwa dhahabu safi, ulifunike ndani na nje, nawe tia na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Utalipaka sanduku hilo dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Utalifunika hilo Sanduku kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Utalifunika hilo Sanduku kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nawe ulifunike kwa dhahabu safi, ulifunike ndani na nje, nawe tia na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Utalipaka sanduku hilo dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ulifunikize lote dhahabu tupu, upande wa ndani na wa nje uufunikize hivyo, kisha uzungushe juu yake taji la dhahabu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nawe ulifunike kwa dhahabu safi, ulifunike ndani na nje, nawe tia na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utapaka sanduku lile zahabu safi ndani na inje na kulifanyia ukingo wa zahabu pande zote.