Exodus 26:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Utalitundika pazia kwenye nguzo nne za mjohoro zilizopakwa dhahabu, zenye kulabu za dhahabu na vikalio vinne vya fedha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Litundike kwa kulabu za dhahabu kwenye nguzo nne za mti wa mshita ambazo zimefunikwa kwa dhahabu, zikiwa zimesimamishwa kwenye vitako vinne vya fedha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kisha litungike katika nguzo nne za mti wa mshita zilizofunikwa dhahabu, vifungo vyake vitakuwa vya dhahabu, katika matako ya fedha manne.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Utalitundika pazia kwenye nguzo nne za mjohoro zilizopakwa dhahabu, zenye kulabu za dhahabu na vikalio vinne vya fedha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Litundike kwa kulabu za dhahabu kwenye nguzo nne za mti wa mshita ambazo zimefunikwa kwa dhahabu, zikiwa zimesimamishwa kwenye vitako vinne vya fedha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Litundike kwa kulabu za dhahabu kwenye nguzo nne za mti wa mshita ambazo zimefunikwa kwa dhahabu, zikiwa zimesimamishwa kwenye vitako vinne vya fedha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kisha litungike katika nguzo nne za mti wa mshita zilizofunikwa dhahabu, vifungo vyake vitakuwa vya dhahabu, katika vitako vya fedha vinne.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Utalitundika pazia kwenye nguzo nne za mjohoro zilizopakwa dhahabu, zenye kulabu za dhahabu na vikalio vinne vya fedha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha ulitungike juu penye nguzo nne za migunga zilizofunikizwa dhahabu, tena ziwe zenye vifungo vya dhahabu, chini ziwe zimesimikwa katika miguu minne ya fedha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kisha litungike katika nguzo nne za mti wa mshita zilizofunikwa dhahabu, vifungo vyake vitakuwa vya dhahabu, katika matako ya fedha manne.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utalitundika pazia kwenye nguzo ine za mujohoro zilizopakwa zahabu, zenye vifungio vya zahabu na vikalio vine vya feza.