Exodus 29:39 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwanakondoo mmoja utamtoa sadaka asubuhi na mwingine jioni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Utamtoa mmoja asubuhi na huyo mwingine jioni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwana-kondoo mmoja utamchinja asubuhi; na mwana-kondoo wa pili utamchinja jioni;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwanakondoo mmoja utamtoa sadaka asubuhi na mwingine jioni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Utamtoa mmoja asubuhi na huyo mwingine wakati wa machweo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Utamtoa mmoja asubuhi na huyo mwingine jioni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwana-kondoo mmoja utamchinja asubuhi; na mwana-kondoo wa pili utamchinja jioni;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwanakondoo mmoja utamtoa sadaka asubuhi na mwingine jioni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwana kondoo mmoja umtoe asubuhi, naye mwana kondoo wa pili umtoe saa za jioni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwana-kondoo mmoja utamchinja asubuhi; na mwana-kondoo wa pili utamchinja jioni;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwana-kondoo mumoja utamutoa sadaka asubui na mwingine magaribi.