Exodus 30:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Utatengeneza birika la shaba la kutawadhia lenye tako la shaba, uliweke katikati ya hema la mkutano na madhabahu, na kutia maji ndani yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Tengeneza sinia la shaba lenye kitako cha shaba kwa ajili ya kunawia. Liweke kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, kisha uweke maji ndani yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Fanya na birika la shaba, na tako lake la shaba, ili kuogea; nawe utaliweka kati ya hema ya kukutania na madhabahu, nawe utalitia maji.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Utatengeneza birika la shaba la kutawadhia lenye tako la shaba, uliweke katikati ya hema la mkutano na madhabahu, na kutia maji ndani yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Tengeneza sinia la shaba, lenye kishikilio cha shaba kwa ajili ya kunawia. Liweke kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, kisha weka maji ndani yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Tengeneza sinia la shaba lenye kitako cha shaba kwa ajili ya kunawia. Liweke kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, kisha uweke maji ndani yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Fanya na birika la shaba, na kitako chake cha shaba, ili kuogea; nawe utaliweka kati ya hema ya kukutania na madhabahu, nawe utalitia maji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Utatengeneza birika la shaba la kutawadhia lenye tako la shaba, uliweke katikati ya hema la mkutano na madhabahu, na kutia maji ndani yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tengeneza birika la shaba lenye wekeo lake la shaba, liwe la kuogea, uliweke katikati ya Hema la Mkutano na meza ya kutambikia, kisha ulitie maji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Fanya na birika la shaba, na tako lake la shaba, ili kuogea; nawe utaliweka kati ya hema ya kukutania na madhabahu, nawe utalitia maji.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utatengeneza birika la shaba kwa kuoga lenye tako la shaba, uliweke katikati ya hema la mukutano na mazabahu, na kutia maji ndani yake.