Exodus 30:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mipiko hiyo iwe ya mjohoro na ipakwe dhahabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tengeneza mipiko kwa miti ya mshita na uifunike kwa dhahabu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na ile miti utaifanya kwa mti wa mshita, na kuifunikiza dhahabu safi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mipiko hiyo iwe ya mjohoro na ipakwe dhahabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tengeneza mipiko ya mti wa mshita na uifunike kwa dhahabu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tengeneza mipiko kwa miti ya mshita na uifunike kwa dhahabu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na ile miti utaifanya kwa mti wa mshita, na kuifunikiza dhahabu safi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mipiko hiyo iwe ya mjohoro na ipakwe dhahabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nayo mipiko uitengeneze kwa migunga, kisha nayo uifunikize dhahabu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na ile miti utaifanya kwa mti wa mshita, na kuifunikiza dhahabu safi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Miti hiyo ikuwe ya mujohoro na ipakwe zahabu.