Exodus 33:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Waisraeli waliyavua mapambo yao tangu walipoondoka mlimani Horebu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo Waisraeli wakavua mapambo yao katika Mlima Horebu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi wana wa Israeli wakavua vyombo vyao vyote vya uzuri, tangu mlima wa Horebu na mbele.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Waisraeli waliyavua mapambo yao tangu walipoondoka mlimani Horebu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo Waisraeli wakavua mapambo yao katika Mlima wa Horebu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo Waisraeli wakavua mapambo yao katika Mlima wa Horebu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi wana wa Israeli wakavua mapambo yao, tangu mlima wa Horebu na mbele.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Waisraeli waliyavua mapambo yao tangu walipoondoka mlimani Horebu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo wana wa Isiraeli wakayavua mapambo yao huko mlimani kwa Horebu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi wana wa Israeli wakavua vyombo vyao vyote vya uzuri, tangu mlima wa Horebu na mbele.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Waisraeli wakavua mapambo yao tangu walipoondoka kwenye mulima Horebu.