Exodus 34:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jihadharini msije mkafanya agano na wakazi wa nchi mnayoiendea, maana hilo litakuwa mtego miongoni mwenu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Uwe mwangalifu, usifanye agano na wale wanaokaa katika nchi ile unayoiendea, la sivyo watakuwa mtego katikati yako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ujihadhari nafsi yako, usije ukafanya agano na wenyeji wa nchi ile unayoiendea, lisiwe mtego katikati yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jihadharini msije mkafanya agano na wakazi wa nchi mnayoiendea, maana hilo litakuwa mtego miongoni mwenu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Uwe mwangalifu, usifanye agano na wale wanaokaa katika nchi ile unayoiendea, la sivyo watakuwa mtego katikati yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Uwe mwangalifu, usifanye agano na wale wanaokaa katika nchi ile unayoiendea, la sivyo watakuwa mtego katikati yako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ujihadhari nafsi yako, usije ukafanya agano na wenyeji wa nchi ile unayoiendea, lisiwe mtego katikati yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jihadharini msije mkafanya agano na wakazi wa nchi mnayoiendea, maana hilo litakuwa mtego miongoni mwenu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Jiangalie, usifanye agano na wenyeji wa nchi ile, utakayoiingia, wasiwe katikati yenu kama matanzi!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ujihadhari nafsi yako, usije ukafanya agano na wenyeji wa nchi ile unayoiendea, lisiwe mtego katikati yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufanye angalisho musifanye agano na wakaaji wa inchi munayoiendea, maana hiyo itakuwa mutego kati yenu.