Exodus 34:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Siku sita mtafanya kazi zenu, lakini siku ya saba mtapumzika, hata ikiwa ni wakati wa kulima au kuvuna.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kwa siku sita utafanya kazi, lakini siku ya saba utapumzika, hata ikiwa ni majira ya kulima au ya kuvuna lazima upumzike.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Utafanya kazi siku sita, lakini katika siku ya saba utapumzika; wakati wa kulima mashamba, na wakati wa kuvuna pia, utapumzika.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Siku sita mtafanya kazi zenu, lakini siku ya saba mtapumzika, hata ikiwa ni wakati wa kulima au kuvuna.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kwa siku sita utafanya kazi, lakini siku ya saba utapumzika, hata ikiwa ni majira ya kulima au ya kuvuna lazima upumzike.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kwa siku sita utafanya kazi, lakini siku ya saba utapumzika, hata ikiwa ni majira ya kulima au ya kuvuna lazima upumzike.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Utafanya kazi siku sita, lakini katika siku ya saba utapumzika; wakati wa kulima mashamba, na wakati wa kuvuna pia, utapumzika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Siku sita mtafanya kazi zenu, lakini siku ya saba mtapumzika, hata ikiwa ni wakati wa kulima au kuvuna.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku sita sharti ufanye kazi, lakini siku ya saba sharti upumzike, ijapo siku ziwe za kulima au za kuvuna, sharti upumzike.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Utafanya kazi siku sita, lakini katika siku ya saba utapumzika; wakati wa kulima mashamba, na wakati wa kuvuna pia, utapumzika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Siku sita mutafanya kazi, lakini siku ya saba mutapumzika, hata ikiwa ni wakati wa kulima au kuvuna.