Exodus 36:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mose alimwita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu ambaye alikuwa amejaliwa ujuzi na Mwenyezi-Mungu, na kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kufanya kazi kwa hiari.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Mwenyezi Mungu alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda kuja na kufanya kazi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu, na kila mtu aliyekuwa na moyo wa akili, ambaye Bwana alimtia moyoni mwake hekima, kila mtu ambaye moyo wake ulimhimiza ili aende kuifanya kazi hiyo;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mose alimwita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu ambaye alikuwa amejaliwa ujuzi na Mwenyezi-Mungu, na kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kufanya kazi kwa hiari.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo Mose akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye BWANA alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda kuja na kufanya kazi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye bwana alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda kuja na kufanya kazi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu, na kila mtu aliyekuwa na moyo wa akili, ambaye BWANA alimtia moyoni mwake hekima, kila mtu ambaye moyo wake ulimhimiza ili aende kuifanya kazi hiyo;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mose alimwita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu ambaye alikuwa amejaliwa ujuzi na Mwenyezi-Mungu, na kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kufanya kazi kwa hiari.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Mose akawaita Besaleli na Oholiabu na watu wote waliokuwa werevu wa kweli mioyoni mwao, Bwana aliowapa werevu wa kweli mioyoni mwao, nao wote waliohimizwa na mioyo yao kuzijia hizo kazi, wazifanye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu, na kila mtu aliyekuwa na moyo wa akili, ambaye BWANA alimtia moyoni mwake hekima, kila mtu ambaye moyo wake ulimhimiza ili aende kuifanya kazi hiyo;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Musa akamwita Bezaleli na Oholiabu na kila mutu ambaye alikuwa amejaliwa ujuzi na Yawe na kila mutu ambaye moyo wake ulimusukuma kufanya kazi kwa nia nzuri.