Exodus 37:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliipaka dhahabu safi na kuitengenezea ukingo wa dhahabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha akaifunika kwa dhahabu safi, na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
naye akaifunika dhahabu safi, akaifanyia ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliipaka dhahabu safi na kuitengenezea ukingo wa dhahabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha akaifunika kwa dhahabu safi na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha akaifunika kwa dhahabu safi, na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
naye akaifunika dhahabu safi, akaifanyia ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliipaka dhahabu safi na kuitengenezea ukingo wa dhahabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akaifunikiza dhahabu tupu, kisha akazungusha juu yake taji ya dhahabu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
naye akaifunika dhahabu safi, akaifanyia ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akapakaa zahabu safi na kuitengenezea ukingo wa zahabu.