Exodus 37:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alitengeneza mipiko miwili ya mjohoro ya kulibebea, akaipaka dhahabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mipiko hiyo ya kubebea meza ilitengenezwa kwa mti wa mshita, na ilikuwa imefunikwa kwa dhahabu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akaifanya hiyo miti ya kuichukulia, ya mti wa mshita, akaifunika dhahabu, ili kuichukua hiyo meza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alitengeneza mipiko miwili ya mjohoro ya kulibebea, akaipaka dhahabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mipiko hiyo ya kubebea meza ilitengenezwa kwa mti wa mshita, na ilikuwa imefunikwa kwa dhahabu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mipiko hiyo ya kubebea meza ilitengenezwa kwa mti wa mshita, na ilikuwa imefunikwa kwa dhahabu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akaifanya hiyo miti ya kuichukulia, ya mti wa mshita, akaifunika dhahabu, ili kuichukua hiyo meza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alitengeneza mipiko miwili ya mjohoro ya kulibebea, akaipaka dhahabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akatengeneza mipiko kwa migunga na kuifunikiza dhahabu, itumike ya kuichukulia hiyo meza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akaifanya hiyo miti ya kuichukulia, ya mti wa mshita, akaifunika dhahabu, ili kuichukua hiyo meza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akatengeneza miti miwili ya mujohoro ya kuibebea, akaipakaa zahabu.